Barabarani unakutana na mwanamke mchuuzi maskini mwenye mtoto mgongoni,Unashusha kioo cha gari lako na kumuuuliza kwa sauti ya kijeshi
"UNAUZA BEI GANI HIVYO VITUNGUU NA HIZO NDIZI"?
Muuzaji maskini kwa upole anakujibu "shilingi elfu moja kwa kichane cha ndizi na shilingi elfu moja kwa fungu...
Ndugu wana Jamii Forums naomba mnasaidie kujua
Course ya INSTRUCTIONAL DESIGN AND INFORMATION TECHNOLOGY ina deal na nini na pia baada ya kuisoma unaifanyia kazi field gani
msaada plz🙏🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.