Nawasalimu katika jina la jamhuri,
Naomba mwenye uelewa katika suala hili anisaidie, iko hivi mimi naishi moja ya mikoa ya kanda ya ziwa kuna rafiki yangu anaishi mkoa wa iringa, juzi alinipigia simu ananiambia kuna tenda ya kukata miti pori kwa ajili ya uchomaji wa mkaa, mimi namiliki chainSaw...
Ndugu zangu natumaini hamjambo na wote mko tayari kwa ajili ya kuuaga mwaka wa 2020 na kuukaribisha mwaka 2021..
Embu leo tujaribu kutoa appreciation kwa wale watu waliotusaidia tukiwa tumekwama au tukiwa katika shida fulani na hamfahamiani na baada ya hapo hamkuwahi kuonana nao Tena;
Mimi kisa...
Habari za weekend ndugu zangu poleni na mihangaiko pamoja na hii changamoto ya covid- 19 kama title inavosema
Mimi Ni mhanga wa kufiwa na Mama yangu mzazi nikiwa katika umri wa miaka 11 tu nikiwa darasa la tano.
Kwakweli kati ya vitu vinavyoumiza na bado vinazidi kuniumiza mpaka Leo Ni kitendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.