nimekua tatizo takribani mwaka hivi huwa naumwa na pumbu mpaka hupelekea hata ukishika zinauma hata kubana miguu ni shida ila baada ya muda narudi kwenye hali yangu ya kawaida.lakini hivi karibun naona pumbu moja inakua kubwa kuliko nyingine pasipo na maumivu yoyote.
Kwenu ndungu zangu naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.