Mwanamme mlevi na mwenye kutumia sigara huwa sina mazoea nao kabisa, sasa mwezetu huyo wa kutumia bangi umewezaje? Ama mapenzi yamekuchanganya maana muda mwingine tukikunwa vizuri akili huama.
Embu msikilize mzazi wako, huwenda ukaangukia sehemu salama zaidi tofouti na sasa kwa huyo mlevi na mhuni.
Huyu hana tofouti na JPM, pdf la kutumbua huwa linatoka usiku moja ya watu aliowatumbua usiku wa manane baada ya sherehe za uhuru ni mkurugenzi mkuu wa usalama wa taifa, mzee ana kinyongo kama magufuli tu 😁
Eneo la musoma lingepata viongozi makini huwenda ingekuwa moja ya mji mkubwa na pengine mji wa gharama ukanda huu wa afrika mashariki, nilifika huko kwa kweli niliupenda sana huu mjini...
Haka ka mji kamechoka, kamepauka hakana maendeleo nilimaliza hapo mary goreti mwaka 2000 ila hadi leo mji uko vilevile. Wachaga mpunguze maneno rudini kwenu mkapaendeleze lol
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.