Mwaka jana, 31 March 2014, Askofu mkuu wa Full Gospel Bible Fellowship, Zackary Kakobe, aliandika barua yenye ujumbe wa Mungu juu ya anguko la CCM mwaka 2015....huyu alitabiri na yametimia.
Baada ya kuona asilimia kubwa ya wanajamvi wamejikita kwenye mipasho zaidi, nimeona nilete uzi huu mezani ili tujadili ni kwa jinsi gani hii barabara ya muhimu hapa jijini inaweza kuboreshwa ili walau walipa kodi wapate nafuu hasa ukichukulia kuwa magari kadha wa kadha yamekuwa yaking'oka...
Kuna kundi la majambazi limeibuka hivi karibuni na kutikisa maeneo ya Goba mpakani na Makongo juu..majambazi hayo yalikuwa takribani ishirini, kumi wakiwa ndani na kumi nje. Ndani ya wiki moja matukio ya aina hiyo yametokea Mara mbili kwa Watu ambao ni majirani. Kundi hili linavamia kwa kulipua...
Ilikuwa ni siku ya tarehe 12 Dec 2011 nikiwa Oil com Ubungo nikiwa namsubiri mgeni wangua akitokea mkoani,akaja jamaa mmoja mweusi hivi,wakati nawasha gari langu,akaniomba nimpe hela,eti gari yake imeisha mafuta na pia kadi yake ya ATM imenesa kwenya ATM na hana msaada,nikamwonea huruma hasa...
Inasemekana kuwa nguvu ya umma imekuwa ikivinyima usingizi vyama vya siasa nchini: 1).CCem imekuja na sera ya kujivua gamba ili irejeshe imani kwa wananchi 2).Nccra imekuja na dhana ya kumng'oa mwenyekiti wao Jamus kwa kile kinachoelezwa na wabunge wake wawili wa Kigoma kuwa ni kibaraka wa CCem...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.