Hizi kazi wenye akili Huwa hatuombi labda tupewe wito maalumu!!
Kuna sarakasi za kutosha Sana Toka Kwa watendaji vijiji na kata !!
nakumbuka kwenye uchaguzi mkuu uliopita "mama ntilie alipewa usimamizi mkuu amsimamie mkuu wa shule mmoja hivi,nilicheka sana!!Boda Bora anamsimamia Mwl wa...
Nani nyumbu!!?
Halafu tangu lini idadi ya kura kuwa nyingi zikahalalisha ushindi wa mtu hasa katika nchi zetu za Dunia ya tatu!!?hata huko america idadi ya kura hazihalalishi ushindi wa urais!!
Hujui kura zinahalalisha yule aliechaguliwa tayari na wenye mamlaka ya nchi!?na sio idadi.na...
Madhara ya chama kimoja hasa hiki changu Cha CCM kukaa madarakani muda mrefu,Hadi jeshi la police linashindwa kuwatumikia wananchi linatumikia chama na watawala yaani kuwapendeza watawala!!
Mimi naamini chama Chama upinzani ni sehem ya taifa coz wanachama waliopo huko wanalipa Kodi SAWA na...
Utafiti binafsi!
Nguvu itokanayo na kristo haichunguziki na ni ngumu kuitolea logic ya kimtazamo coz Haina formula maalum ya kumfundishia mtu!
Uislam ni rahisi kuutolea maelezo coz unafundishwa vema na kushika sheria!!
Ukristo muhusika haongozwi na mafundisho Bali nguvu halisi iliyomvaa...
Hakuna Dini ya kweli mkuu!!
Kuna nguvu ya kweli ya Asili iitwayo Mungu na ilikuwepo kabla Dini hazijaja Kwa mababu zetu!!
Muite huyo saidia wenye shida huku ukimuita huyo Kwa lugha yako kuhusu chochote kile atafanya Kwa kadri mapenzi yake yalivyo!!
Dini ni mpango kazi wa nguvu hasi iitwayo...
Kwenye mahusiano wekeni falsafa,dini,utafiti pembeni!
Mahusiano yanaamuliwa na nature yaani asili na mazingira uliyonayo plus maumbile ya ndani ya wahusika kwenye mazingira hayo uliyopo!!
Ukifanikiwa kwenye hilo bas mahusiano Yako yatadumu!
Sijaona kosa lake hapo!!
Ndivyo alivyoona inafaa!
Mengine siyo laana ni nature imeamua!
Unaweza kuolewa na maskini lakini ni tajiri was kesho!
Au ukaolewa na anaeoonekana ni tajiri lakini ni maskini was kesho!
Mali ni kiumbe hai Ina macho,masikio inaweza kuchoropoka wakati wowote!
Tengeneza Banda la kawaida sana la kuku kama 200 hivi yaani mtafute fundi akupe gharama hiyo!!
Tafuta kuku was kienyeji matetea kama 60 hivi na majogoo kama 10 !!
Nunua dawa kama Newcastle wachanje !halafu tafuta OTC plus dawa ya vitamins!pumba plus chakula special utakua unachanganya na pumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.