Wanajamvi, habari zenu. Mimi ni mzazi wa mtoto mwenye tatizo kitaalamu wanaliita cerebral palsy. mwanangu amemaliza darasa la saba katika shule ya kiingereza (English Medium). Katika mtihani wake wa darasa la saba Wizara ya Elimu ilimsaidia kwa kumuongezea kumpa muda wa ziada, pamoja na kumpa...
Yeye yuko sawa, anaona hutaweza kununua ng'ombe mzima endapo atakuwa anakupa nyama nusu kilo ama kilo nzima utakapohitaji. hivyo anataka ukajitambulishe mfunge ndoa.
Nyumba mpya ipo kilomita 2 kutoka mbezi mwisho kuelekea barabara ya makabe, yenye uzio, paking ya kutosha na finishing ya kisasa, master bedroom na vyumba vingine 2,pamoja na sebule na jiko (inajitegemea) inatafutiwa mpangaji. kadi ni TSH 250,000/= kwa mwezi. Mpangaji anatakiwa awe na sifa...
Bora hiyo . Wa kwangu aliibiwa biblia mpya. Niliandika na namba za simu page ya kwanza. Ina maana hata mzazi hajaziona anirudishie?, je mwalimu, je mfagizi?, je mpishi? je mlinzi, je dereva .Nilipiga simu ola. nikaanika kwenye diary ola; nikafika shuleni ola. hata leo naiomba kwa kuwa bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.