Nyumba mpya ipo kilomita 2 kutoka mbezi mwisho kuelekea barabara ya makabe, yenye uzio, paking ya kutosha na finishing ya kisasa, master bedroom na vyumba vingine 2,pamoja na sebule na jiko (inajitegemea) inatafutiwa mpangaji. kadi ni TSH 250,000/= kwa mwezi. Mpangaji anatakiwa awe na sifa zifuatazo;-Kazi halali yenye uhakika wa kumpatia kiasi hicho cha kodi pasipo usumbufu kwa mwenye nyumba. Kwa atakayekuwa na nia ya dhati mwenyenyumba atapatikana kuanzia tar 20/11/2012 kwa ajili ya kumwonyesha. Mwenye kuhitaji aonyeshe namba yake kwa mawasiliano.(only serius persons) :ranger: