Ndugu, tangu Azsky G6 zimetoka wengi walio nunua wamekuwa wakilalamika na hakuna aliye enjoy huduma yao hata kwa week moja mfulululizo.
Japo wauzaji wa huku jamvini wanatushawishi na wameshatushawishi tununue hivi vidude kwa misingi ya kibiashara. Mimi nawaonya wale wote ambao hawajanunua...
Tarehe 18/12/2012 nilikuwa natoka Dodoma kuelekea Singida kupitia Kondoa , nilifika kwenye jimbo la Singida mashariki eneo linaloitwa Misughaa kwenye bonde la ufa.
Kwa mshangao mkubwa niliona gari aina ya coaster ikiwa imebeba abiria zaidi ya 50 na madumu mengi ya petrol pamoja na mizingo...
Chama cha Waalimu Tanzania kiliundwa kwa malengo mazuri ya kutetea haki za waalimu ila kwa sasa CWT kimejikita zaidi kukusanya michango kutoka kwa waalimu na kuzitumia kulipana posho, mishahara, na kuekeza kwenye miradi iziyo na tija kwa waalimu na kusahau jukumu la kuwatetea. Kwa mfano...
Katika hali isiyo ya kawaida Polisi mkoa Kilimanjaro imewakatalia CHADEMA kufanya mkutano wao katika eneo walilokusudia kufanya mkutano, taarifa ya kukataliwa kufanya mkutano katika eneo la stendi imekuja saa chache kabla ya mkutano, hii iliwachanganya viongoziwa CHADEMA ili kwa busara waliamua...
Kwa wakazi wa Moshi na maeneo ya jirani karibu kwenye mkutano wa hadhara utakao fanyanyika eneo la stendi kuu ya Moshi, madiwani wote wa CHADEMA na meya wa manispaa ya Moshi Mhe. Jafari ataongoza jahazi,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.