Picha zitafanana lakini dole gumba kamwe haliwezi...me naona tuanze kupeleka mashine za BVR police kwa nini dole gumba moja litumike mara mbili?au haziwezi kutofautisha?swali la kujiuliza ilo...kama mashine ziko vizuri ilitakiwa pale aliporudia kutia dole gumba igome kama imeruhusu basi mashine...
Tatizo tunaongea sana halfu hatupigi kura,piga kura tuwachomoe hawa jamaa kazi itaishia ila sio yaishie hapa jf,kama burkinafaso wangefanya kama ivi kujadili mitandaoni isingekuwa ivo,tufanye action tuwachomoe hawa ccm kishaaaa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.