Kuna tv hapa aina ya hitach chogo yaani ilikua inagoma kuwaka sasa nimepambananayo sicruit ikawa imewaka an ila sasa kuleta mwanga kwe kioo ilikua sjafanikiwa an nikiiwasha ilikua inatoa Moshi kwwnye crt sasa nikajarib kuichomoa crt nikaisafisha nikawa nakazia kazia japokua hapakua na luzi...
Wakuu kati ya inverter ya power transistor na inverter ya mosfet ipi bora na ipi ambayo haili sana moto?
Maana nataka niunde mojawapo nikipata ufumbuzi kutoka kwenu wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni mnisaidie wakuu maana nataka kutengeneza amplifier kwa kutumia ic ya tda7393 ila kuna sehemu imeandikwa ST-BY na nyingine MUTE. Sasa hizo sehemu mbili nimekosa cha kuunganisha wakuu msaada tafadhali.
Asanteni.
HABARI NJEMA KWA WOTE WANAOHITAJI KUJIFUNZA ELECTRONICS
Najua kuna watu wengi wanapenda kujifunza Electronics designing; wale walio choka ku-copy na ku-paste na hivyo wangependa wao wenyewe wabuni vya kwao.
Ikumbukwe kuwa vifaa vya ki-electronic vinavyotumika kutengeneza vyombo ya...
HABARI NJEMA KWA WOTE WANAOHITAJI KUJIFUNZA ELECTRONICS
Najua kuna watu wengi wanapenda kujifunza Electronics designing; wale walio choka ku-copy na ku-paste na hivyo wangependa wao wenyewe wabuni vya kwao.
Ikumbukwe kuwa vifaa vya ki-electronic vinavyotumika kutengeneza vyombo ya...
Wakuu tujadili na kusaidiana kuhusu kutumia voltage ndogo katika miziki mikubwa, yaani namaanisha Power amplifier kwa v12. Najua itakuwa ngumu lakini lengo langu ni kuiboost dc v12 kuwa v40
Wakuu tukiweza hili itakuwa vizuri sana.
Msaada kwenu tafadhali
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.