yaani utopolo kukosa kupata goli nyumbani kwasababu ya kutokuwepo kwa wachezaji watatu ndo wanaona wataenda kushinda kule bondeni, yaani akili za kipoyoyo kabisa[emoji3]
yanga pamoja na kuroga kote lakini bado wanashangilia sare wakitegemea kwenda kupata goli la ugenini.
possession ya nyumbani yanga 20% mamelodi 80%[emoji23]
Habari za jioni wakuu.
nimeona hii title inaweza kuendana na mada yangu ila kikubwa niwashauri ndugu zangu wana jf tumtangulize MUNGU kwa kila jambo kabla ya kuanza shughuli zetu, siku moja tu ina thamani sana kwenye kupambana kwa bidii kutafuta pesa.
Naomba nisisitize hapa "TUTAFUTE PESA KWA...
Habari za jioni wakuu.
nimeona hii title inaweza kuendana na mada yangu ila kikubwa niwashauri ndugu zangu wana jf tumtangulize MUNGU kwa kila jambo kabla ya kuanza shughuli zetu, siku moja tu ina thamani sana kwenye kupambana kwa bidii kutafuta pesa.
Naomba nisisitize hapa "TUTAFUTE PESA KWA...
mnajisahau sana utopolo, alieongea ukweli kwa kuwafananisha na nyani sasa hivi yupo kwao uholanzi.
na unyani wenu bado mnaendelea kuumiliki.
nyani ni nyani tu[emoji3][emoji3].
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza ni exactly kilichonitokea na kinachoendelea kunitokea.
Mimi siyo mtaalam wa mambo ya wanawake, so katika hili sifahamu, "hivi mwanamke akiwa period anakuwa na tabia kumchukia mpenzi wake?[emoji120][emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.