Sasa na wewe unachoma!!! Kwa hamza tu mlitumia risasi zaidi ya 100 na mlikuwa mnamuona!!!!! Sasa vipi kwa huyu mwamba ambae mlikuwa mnaotea na hamumuoni? Hii issue kubalini uchunguzi kutoka nje kama ni mbowe itajulikana kama ni serikali pia itajulikana
We acha kuzingua jamaa angu.... Mbona una maamuzi mepesi sana juu ya mwanao mzee? Yani mtu amchukue we unaona ni sawa hiyo?
Keshagongwa na toyo bado unaona ni sawa yeye kukaa hapo? Tafuta dada wa kazi akae kwako akulelee mtoto wako..... Mtoto wa kwako nani atamlea, familia ya kwako nani...
Ila hii katiba yetu nayo mapungufu ni mengi! I wish ibadilishwe na viongozi kama raisi waweze kushtakiwa maana na wao wana maujinga kibao.... Lakini hii yakuwatuma watumishi wao kutekeleza mambo fulani fulani inakuwa si sawa!!!!
Mkuu maybe upo sahihi kwa mtazamo wako!!! Lakini nataka nikwambie kuwa kiongozi mkuu kwenye nchi sio mchezo jamaa angu.... Yani kuna maamuzi unalazimika kuchukua kwa maslai ya taifa!!! Nikuulize ilikuwa ni sahihi lissu kutetea wazungu kwenye wizi wa madini??? Na kama wewe ungekuwa ni raisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.