Ngoja chuma kiingie online,mbona watatafuta mchawi nani,kwa Tundu hii kesi ndogo sana,maana akuna wakili wa selikali ambaye anamsumbua lisu akili,2020 tutaona mengi ngoja tuskilizie mziki wa mwamba.
Nakumbuka kipindi naanza maisha ya magetoni nilinunua tv kabla ya godolo,niliomba ruhusa kazini alafu nikaazima CD 15 nilikuwa nakesha hadi asbuhi naangalia Tv,ila swala la usafi kwangu ilikuwa mtihani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.