Walimu wawili shule ya Sekondari Kizaga wilayani Iramba wahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbaka mwanafunzi

Hivi binti kumtaja mtu ni ushahidi tosha wa kumtia mtu hatiani? Na je kama hii kesi ilisukwa ili binti amataje mtu ambaye hausiki? Kwa hukumu kama hii sio suala la kushangilia, kwa muktadha huu kila mtu hayupo salama hata wewe hapo unaweza kuundiwa ili zengwe na hata kama ni wew ni mwanamke ndugu yako au mme wako au mtoto wako anaweza kupatwa hili suala.
Hii sheria nakumbuka wakati inapitishwa ilileta kelele sana na moja sehemu iliyopigiwa kelele ni hilo unalolisema wewe,yaani inatosha kabisa kwenda jela kwa kutajwa na binti kwamba katembea na wewe hata kama tendo lilifanyika siku za nyuma yaani pasipo ushahidi wa kidakitari.
Kumfinyia jicho msichana/mwanamke,kushika makalio yake au matiti pasipo idhini yake pia ni kubaka hivyo kazi kwenu..,kama wanawake wengi wangetaka kuitumia hii sheria magereza yangefurika wabakaji.
 
Hii sheria nakumbuka wakati inapitishwa ilileta kelele sana na moja sehemu iliyopigiwa kelele ni hilo unalolisema wewe,yaani inatosha kabisa kwenda jela kwa kutajwa na binti kwamba katembea na wewe hata kama tendo lilifanyika siku za nyuma yaani pasipo ushahidi wa kidakitari.
Kumfinyia jicho msichana/mwanamke,kushika makalio yake au matiti pasipo idhini yake pia ni kubaka hivyo kazi kwenu..,kama wanawake wengi wangetaka kuitumia hii sheria magereza yangefurika wabakaji.
Hizi sheria huwa zinashadadiwa na feminine activists
 
Mimi sio mwalimu na sipo huko, hii habari nimepewa Leo ktk maongezi nikafuatilia kumbe ni kweli huko singida hakimu kafanya yake. Pia nimesikia waliombwa Rushwa shilling million 1. 8 kila moja wakagoma.
Kosa lako ni kukataa kutoa rushwa Kimya kimya bila kuwashirikisha taasisi husika
 
Jamani mwenye details za kutosha kuhusiana na hii kesi ani-pm, ili tuone ni namna gani tunaweza kuwasaidia hawa walimu, hurry up please. Sijajua kama hukumu yenyewe imetolewa lini na sijajua pia ni muda gani wamepewa ambao wanweza kukata rufaa mahakamani endapo kama hawajaridhika na maamuzi ya Mahakama.
MTU yeyote ambaye ana nakala ya hukumu ya kesi husika, tafadhali piga photocopy/scan kisha uiweke kwenye softcopy hukumu yote na kisha nitumie ujumbe, send a private msg to me.
 
Screenshot_20190827-053054.jpg
 
Hii sheria nakumbuka wakati inapitishwa ilileta kelele sana na moja sehemu iliyopigiwa kelele ni hilo unalolisema wewe,yaani inatosha kabisa kwenda jela kwa kutajwa na binti kwamba katembea na wewe hata kama tendo lilifanyika siku za nyuma yaani pasipo ushahidi wa kidakitari.
Kumfinyia jicho msichana/mwanamke,kushika makalio yake au matiti pasipo idhini yake pia ni kubaka hivyo kazi kwenu..,kama wanawake wengi wangetaka kuitumia hii sheria magereza yangefurika wabakaji.
Harakati za haki za wanawake zinaibua sintofahamu. Ndiyo kiini cha sheria zote Kali hizi.
 
Haya hukumu ndo hiyo ishatoka vipi sasa kuhusu hatima ya mtoto atakae zaliwa haki zake zikoje sababu mwanafnz yy kibali cha kujitegemea kimeshapatikana.
Sheria zetu nyingi zimetungwa na walevi na wavuta bange huwezi mfunga mtu miaka 30 kisa eti mimba, wajinga tu watasapoti.
 
Back
Top Bottom