Kuna muda unaeleweka, kuna muda una diverge kwenye msingi wa post.
Mtoa hoja hakuna sehemu hata moja amefanya defamation. (ingawa kwa maoni yako unaona amefanya defamation)
Tujifunze zaidi maana ya neno defamation!
Their sweetness is no longer the same like TBT/ those days, materials wanazo tumia sio rafiki kulingana na hii mada.
Sometimes unalaumu mwanaume pasipo sababu.
Ili uelewe vizuri, tafuta salary scale za watumishi! huyo mwenye degree uliza ana staafu akiwa na level gani ya mshahara hapo ndio utajua kuwa watumishi wa umma wanapitia magumu.
Naamini hapo utakuwa katika position nzuri sana ya ku argue basing on reality!
Haya unayoyasema ni mtazamo tu...
Mkuu, watu wanalalamika sababu mishahara ni midogo sana.
Toka jana, nilikuambia kunauwezekano hufahamu salary scale za watumishi wengi wa serikali.
Ungekuwa unafahamu, nadhani usinge thubutu kusema watumishi ni wazembe, haiwezekan aslimia 80 ya watumishi wawe wazembe? haiwezekani!
Tatizo...
Kilichoandikwa kwenye heading ni Billion.
Ukisoma taarifa yenyewe ni Millioni, kipi ni sahihi wewe mleta mada.
Kaguzi za namna hii hazina Tija hata kidogo, sheria ya manunuzi ndio shida, wasilaumu hao MSD.
Ulivyokuwa na fikra finyu, yani akili zako zinakituma hicho kikokotoo ndio njia ya kuiletea maendeleo Tanzania.
Bigus kabisa wewe, huko duniani unapopasema ni wapi na uchumi wao ukoje?
We jamaa unazidi kuonesha UBOGUS WAKO HAPA, BORA UKAE KIMYA.
Unailinganisha TZ na Singapore!?
No wonder...
Mijitu inayo tetea hicho kikokotoo ni kama haijielewi!
Ili mtumishi afurahie hicho kikokotoo, basi serikali iboreshe mishahara ya watumishi! na ikiwezekana kuwe na scale ya aina moja kulingana na daraja husika kwa watumishi woote, iwe mashirika, serikali kuu na serikali za mitaa.
Kikokotoo...
Inaonekana wewe ni sehemu ya watoa mawazo wa hichi kikokotoo, na siajabu mshahara unalipwa vizuri!
Wewe na huyo Mbunge wote mazinanyange! unaongea as if hujui salary za Watumishi wengi wa umma, LAKINI unasahau hali halisi ya maisha ya watumishi wa umma.
Watumishi wamekuwa wanajikaza sana, huku...
Kama CAG anafanya kazi, na report zake hazifanyiwi kazi, maan yake ni nini? kwaiyo anatumia fedha za kuendesha ofisi yake bure??
Anaweza kuandika Audit Opinion kuwa, Ofisi yakw inashindwa kuendelea na kazi, mpaka mpaka pale mapendekezo yake yatakapofanyiwa kazi.
Kairuki Hospital wametengeneza kiwanda cha Dawa sasa ivi wanasambaza TZ yote, ila hao NHIF kazi kulipana posho na kupeana mikopo isiyo na riba. Hizo fedha wanazo kopesha wangewekeza kwenye viwanda vya dawa, saizi wangekuwa mbali sana.
Ndio mana watu hawataki kustaafu, kama mstaafu anaonekana...
Binafsi sioni maana ya uwepo wa CAG. Ni kwakuwa tu CAG anatambulika kikatiba.
Ukiona fedha ya umma imeliwa, ujue kuna mkono mreefu sana, sio tu mtu mmoja amejiamulia kula!
Sio rahisi individual kula pesa ya umma kwakuwa fedha ya umma mpaka inatoka ujue imepitia mikono mingi sana, tena mingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.