Wapambanaji wenzangu poleni na mihangaiko na pilika pilika za siku zote.
Niingie kwenye mada Mke wangu alikuwa na ujauzito wa mwezi mmoja na wiki mbili ikatokea bahati mbaya mimba ikatoka hivyo tukaenda hospitali akasafishwa na tangu hapo sikufanya naeapenzi kutokana na maumivu alokuwa nayo...
Nikweli jombaa nikuwa karibu na familia yako tu hao wengine wazuri ukitakata ukichafuka wanageuka maadui binadam hatabiriki
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.