Mmetoka harusin saa 6 usk.... Mmeingia hotel ukakutana na mauza uza mkabishana takriban masaa 3.... Inakua saa 9 usk alaf baadae simu inapigwa mida ya saa 8 usk Sam anaenda kuongelea pemben Kisha anakuomba msamaha........ Lkn story n tamu ngoja nisubili uje
Umedadavua vizuri sana mkuu... wacha tuendelee kuisoma movie...
Na apo unamaanisha nikinunu dola 1 kwa 2500tsh nikaenda uza kenya napata 3000tsh (150ksh) apo napiga li 50tsh kama faida.... kwenye mil 25tsh natoka na faida ya 5mil.... naomba tusaidiane kueleweshana apo kama vp watu tuingie mzigoni
Achilia mbali makosa ktk kizungu chake... kwangu mimi ata angetumia vitendo tu bila kuongea lugha yoyote endapo walengwa wakamuelewa Lengo linakua lishatimia
Iyo ndiyo inayotuponza watanzania... kudhan kwamba kutetea maslahi ya taifa n kazi ambayo akina flan wanatakiwa waifanye... Taifa lingepata hata asilimia tano tu ya watu ambao wanaamini katika wao kwenye kutetea maslahi ya taifa basi Tungekua mbali sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.