nimejiuliza sana.kwanini kila raisi anavyoingia muhula wake wa uongozi anakuja na style yake ya majanga na matukio.nime observe kwa vipndi viwili maana ndo haswa navikumbuka vizuri na nime hitimisha na muhula huu wa sita wa mama samia.
iko ivi.....
1.kikwete 2010~2015 yeye alikuja na majannga ya...
SCENARIO [emoji1484]
(A). Tuseme ni Ayuoub( ni mmliki wa nyumba) .
(S).Tuseme ni Salim ( mteja wa nyumba ya Ayoub 2014).
(P).Tuseme ni peter pia nae ni ( mteja wa nyumba ya ayoub 2019 ).
Ayoub ni mmliki wa nyumba ndani ya manisipa iliopo ndani ya jiji X .mwaka 2014 alipokea kiasi cha shilingi...
Hapo mwanzo nilikuaaga muumini wandoaa,maarufu kama sogea tukae,kipind hicho nasoma chuo kimoja maarufu nchini Tanzania. nikiwa na geto langu moja kali ukutani Tv yangu ich 43 ikisindikizwa na homethatre yangu ya sony, kushoto mwa Tv ilisimama buku shelf yenye droo kadha na kioo hivyo niliitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.