Ng'ombe wa maziwa ni miongini mwa miradi bora saana ambayo ikisimamiwa na kuendeshwa kisasa inatija kubwa na inaweza kukunufaisha na kukukwamua kiuchumi.
Njoo tukuuzie ng'ombe bora wanastahimili mazingira tofauti kwa mikoa yote Tanzania bila kuteteleka kiafya na kiuzalishaji
Njoo ujifunze na...
Ng'ombe wa maziwa ni fursa kubwa katika mikoa mingi Tanzania ni mradi unaojiendesha na una return kubwa endapo utafanya usimamizi na uwekezeji mzuri
Endapo unapenda ufugaji na unahitaji kuanza kufuga zingatia yafuatayo
Fanya utafiti kuhusu
* Soko la maziwa katika eneo ulilopo
*Hari ya hewa na...
Ndugu wadau wafugaji tunauza ng'ombe bora wa maziwa aina mbalimbali wenye uwezo wa kutoa maziwa hadi lita 30 kwa siku.
Ipo Mitamba yenye mimba na isio na mimba aina zote
Wapo ndama bora Aina zote
Wapo madume bora na wanaopanda kwa uhakika
Wanaokamuliwa na wenye mimba kubwa
Ng'ombe wetu...
Ndugu wadau wafugaji tunatoa huduma ya uuzaji wa ng'ombe wa maziwa wilayani Rungwe mkoani mbeya karibuni kwa ng'ombe aina hizo kwa bei nafuu saana
Tunatoa elimu na ushauri kuhusu ufugaji bora, pia ng'ombe wetu wanastahimili mazingira ya hari ya hewa tofauti ya mikoa yote tanzania
Mitamba (...
Habari za majukumu ndugu Wana jamvi, poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa. Tunauza ng'ombe bora wa maziwa hapa rungwe mkoani mbeya tuna ng'ombe aina mbali mbali wanaotoa maziwa mpaka lita 20 kwa siku na bei zake ni rafiki
Tutafute kwa namba 0756416149
Kalibu upate ng'ombe bora kwa ufugaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.