Leo ni siku ya uhuru wa marekan je kama na ww ni team usa leo tunasherekea uhuru ambao tulio upata kwa nguvu zetu wenyewe kupitia mkuu wa jeshi kipindi icho GEORGE WASHINGTON Je unasherekea ukiwa wapi mm nipo Albany New York
Siku zote mtu uanza kwa kupima bila kujali atafanikisha au la ongera mr Carter kwa kufika apo ulipo unastahili ongera yani mziki umekufanya uwe tajiri akika ww icon wa mziki
2008 to 2019
Asante mungu wangu kwa mafanikio ulio tupa familia yangu leo baba angu ni mwalimu mkuu mama anamiliki kituo cha kulea watoto a.k.a DAY CARE yani kwa life ya kiafrica sikuzan kama tunaweza fika apa tlipo Asante mungu akika ww ni wa rehema kwangu leo mm nina ndoto ya kuja kuwa lawyer...
Je naweza kupata passport ya kitanzania nikiwa inje ya inchi nikafanya process zote nikiwa inje ya nchi bila kutumia jia ya embassy tafadhal kama uwezekano upo kuna zawad zipo kwa ajili Akoo naomba msaada tafadhal ukiwa na ujuz zawad ni 100 USD Stak kutumia jia ya embassy kwasababu ya sina tz...
Sina mengi ya kusema kama title inavosema naitaji msaada nipo inje ya ich kwa mawasiliano nitafute kwa email Adress yangu saidiabaheya123@gmail.com shart vitu kilakitu kiwepo dani
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.