Nmeandikiwa kuwa sijawa SHORT LISTED kutokana na kutoweka passport size wakati ipo na ninahakiki kila Mara kabla ya kuapply na nmeitwa interview kadhaa lakin hii ni ya umuhimu zaidi kwangu lakini wameniacha kwa kuniandikia sababu isiyo kuwa sahihi...hivyo nnaomba aliewahi kuwasiliana nao kwa...
Wakuu naombeni wenye uzoefu kidogo na maombi ya ajira portal mnisaidie ufafanuzi kidogo kuhusu hilo swala kama kuna nafasi za kada moja zimetangazwa katika taasisi tofauti tofauti kwa kufatana na mtu kakidhi vigezo je anaruhusiwa kuomba zoote kwa pamoja au ni kuomba mojawapo tu kati ya...
Inaitwa Republic Archive Information And Management.
Mdogo wangu kachaguliwa katika hizi selection za Tamisemi Kozi hiyo chuo kinaitwa TANZANIA PUBLIC SERVICES (TPS) CAMPUS YA MTWARA.
Hivyo mwenye uelewa na hii kozi naomba anijuze tafadhali sababu Wazazi hawaielew hata kidogo naombeni mnipe...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema mimi ni mmoja wa wasailiwa tunaotakiwa kwenda Dodoma maeneo ya chuo kikuu kwa ajili ya usaili...nlikuwa naomba tupeane ramani kwa wale waliowahi kufika kabla kuhusu sehemu za kufikia za karibu kwa ajili ya malazi na huduma nyingine, Ikiwezekana tujuzane...
Habarini ndugu..kama jina la kozi linavyoonekana hapo juu kuna mdogo wangu kachaguliwa Udom kusomea hiyo kitu
Nlikuwa naomba mwenye uelewa kuhusu hiyo course anieleweshe kidogo... ahsanteni
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wakuu kikubwa n kutaka kufaham kama kuna manufaa kwa mtu atakaeomba kujitolea kada ya afya kuanzia hivi sasa ama vipi
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Samahani wakubwa naomba kufahamishwa kwa wale wazoefu kidogo na Secretariat ya ajira.
Je inaweza ikachukua kipindi cha muda gani kufikia kuitwa kwenye usaili baada ya muda wa kutuma maombi kuisha? Msaada
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Je, wameongeza mda wa maomb kwa zile nafasi za zilizotangazwa awali au kuna tangazo jipya la kazi?
Msaada kwa anaefahamu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.