Search results

  1. W

    Haki inapaswa kuonekana kwa wote na kuthibitishwa pasipo shaka

    Nchi ni ya wote wanachi na serikali lazima itokane na wananchi wanavyotaka. Serikali sio KUBWA kuzidi WANANCHI. maana serikali ni kakundi kadogo kanakopewa DHAMANA kuongoza na kutumikia na kuhudumia WENYENCHI. SERIKALI inapaswa kutekeleza matakwa ya WANANCHI sio kuwaamulia WANANCHI. Pia...
  2. W

    Inawezekana kweli Katiba mpya ni Kitabu tu, Kenya Rais wao amegoma Kabisa kuitii Mahakama na hawana la kumfanya!

    Inatakiwa katiba mpya ila ikitokea mtu anaivunja hilo ni jambo lingine na kuvunja hakuhalalishi kwamba katiba isiwepo iliyobora. Mfano Biblia inasema usiibe lakini wezi wapo sasa kuwepo wezi hakuhalalishi kwamba Biblia isiwepo!
  3. W

    CCM imeanza kampeni uchaguzi 2025. Jokate amuombea kura Samia, apiga magoti

    Kama Mtanganyika hawezi gombea urais Zanzibar kadhalika Mzanzibari hawezi gombea uraisi wa Tanganyika(Jamhuri ya Muungano). Ukweli mchungu apishe TU. Aking'ang'ana damu nyingi zitamwagika ili yeye ashinde na udhalimu mwingi kutendeka kisa kulazimisha mambo. Halafu watu tunapenda mabadiliko na...
  4. W

    CHADEMA anzisheni kituo cha television kabla ya uchaguzi wa 2025

    Hivi shida nini inayokwamisha CHADEMA kwa uwingi wa wanachama isione umuhimu WA kuwa na TV STATION NA RADIO. SASA HIVI HATUPATI TAARIFA HALISI. CHADEMA ANZISHENI TV NA RADIO STATION
  5. W

    Ukweli ni kwamba CCM haina Mgombea Urais 2025, ndio chanzo cha kulogana na kuchafuana

    Kwa kuwa mama ni mzanzibar. Na rais wa jamhuri ya Tanzania ni hasa Tanganyika kweli mama akubari na ashauriwe asigombee uraisi wa Jamhuri ya muungano. Akae pembeni asigombee.
  6. W

    Mzee Butiku: Wanasiasa wanaopuuza Katiba mpya kabla ya 2025, hawana utu 🙏

    Utashi na utari ukiwepo katiba mpya ni mwezi tu inakamilishwa kwa kuwa kazi ilishafanyika na hela nyingi kutumika wakati wa RASIMU YA WARIOBA. KAMA RAIS NA WATANZANIA TUNAIPENDA TANZANIA NA KAMA SI KWA MANENO TU AU KEJELI BASI KATIBA IKAMILISHWE. HUU NI WAKATI WA UKWELI NA UWAZI NA HAKI. SIO...
  7. W

    Luhaga Mpina: Mwigulu Nchemba, Mbarawa, Mkurugezi wa TRC na wote waliohusika wakamatwe na kushtakiwa kwa makosa ya Uhujumu Uchumi

    Katiba katiba katiba ndio itakuwa suluhu. Kwanini hamtaki katiba iboreshwe? Huo ndo ushahidi unaojirudia na kwa miaka sasa na mkapa alikiri. Jamani kubarini kusuka upya katiba itakayoruhusu kila mmoja kudhibitiwa na kushitakiwa na kila mmoja kuwa mlinzi wa rasilimali. Lakini itakayo walipa...
  8. W

    Je, mikataba ya DP World iliyosainiwa ina kikomo cha miaka 30? Jibu hili hapa

    HIVI MAJESHI YETU YANALINDA NINI? MAANA NGUVU YAO NI JESHI KUWALINDA. SASA MUDA HUU NASHAURI ILI TAIFA KUSALIMIKA MAJESHI YAACHE WATANZANIA WACHAGUE VIONGOZI WAO WAWAPENDAO SIO KUIBEBA CCM KIMABAVU TUNAELEKEA HATARI. MAJESHI HAMUONI? MAJESHI SIMAMIENI MAMBO YA HAKI. LAWAMA KUBWA NI MAJESHI YA...
  9. W

    Msaada: PC yangu inasumbua

    Nami . Nikienda turn Off background apps ndo angalau hutulia
  10. W

    Napendekeza kuwepo taasisi maalum ya kusimamia meza ya mazungumzo ya umma

    Kwenda mezani kuzungumza ktk masuala ya KITAIFA ni vizuri. Na inapasa kuwa desturi na kuwa endelevu. Ushauri wangu lazima kuwepo na makubaliano/hitimisho rasmi yaliyoandikwa na kupelekwa kwa wahusika kwa utekelezaji. Kuzungumza bila kutoka na hitimisho rasmi ni sawa na kutokuwepo mazungumzo na...
  11. W

    Rais Mstaafu Jakaya Kikwete: Msijaribu Kuchanganya Dini na Siasa Hata Kidogo

    Hawajui kuwa serikali ni utumishi WA Mungu. Mungu ni utu, haki, kweli, n.k. JE KUNA SERIKALI INAYOINGIA MADARAKANI KWA AJILI YA KUFANYA UOVU? NA IKAWAAHIDI WANANCHI KUWA WATAFANYA UOVU ILI WACHAGULIWE? NA WANANCHI WAKAKUBALI KUWACHAGUA KWA UOVU ULIOAHIDIWA? KAMA SIVYO BASI KUTENGANISHA...
  12. W

    Sheria za kimataifa za uwekezaji ziko wapi?

    Kwani ziko wapi? Je ni za siri? Nashauri zitafutwe ziwe wazi kwa taifa na zijadiliwe kama ninatija kwa taifa au la. Nashauri kabla mkataba wa kimataifa kukubaliwa lazima sheria za kimataifa na mwekezaji ziwe wazi ili kuona kama zina tija kuliko kusema tu. Tunaingiaje mikataba bila...
  13. W

    Watumishi wa Umma wakimaliza utumishi wa kisiasa warudi kwenye ajira zao mpaka watakapostaafu

    NAUNGA MKONO HOJA. NDIYOOOO. TUMEPANDIKIZWA IMANI POTOFU JUU YA SIASA KAMA SIASA NI KITU MBAYA HATARI KINACHOAMBATANA NA MANENO MABAYA KAMA UONGO, UCHAWI, USHIRIKINA, UUAJI, N.K. LKN SASA MBONA WENGI WANAKIMBILIA HUKO! AU WALIOHUKO WANAJILINDI WASIINGILIWE HUKO KUZURI! NCHI ZILIZOENDELEA KAMA...
  14. W

    Ukweli Mchungu: Rais Samia hupendwi na Wananchi wengi

    KAMA NI HIVYO BORA KUINGIA GHARAMA ZA KUMCHAGUA RAISI TENA PUNDE MUNGU AMPENDAPO ZAIDI MLIYEMCHAGUA KULIKO MTU KURITHI URAIS MAANA MRITHI HUWA HANA UCHUNGU KULINDA MALI NA WATU ALIZORITHI/ ALIOWARITHI NA HUWA HAJALI.
  15. W

    "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?

    KILA TAASISI KAMA NI URAIS, MAHAKAMA, SERIKALI , POLISI N.K KAMA KUNA UDHAIFU WANAUONESHA HUU WOTE NI KUTOKANA NA KATIBA. KWA KATIBA YA SASA VIONGOZI WOTE NA TAASISI ZOTE LAZIMA KUPOKEA NA KUTII MAAGIZO TOKA KWA RAIS YAWE YA HAKI AU YAWE YASIYOHAKI. DAWA NI KATIBA MPYA TENA ITAKAYOWAPA WANANCHI...
  16. W

    Tulia: Tusipopitisha bajeti ya serikali Rais anaweza kuvunja bunge

    YAANI BASI. KWA NINI KATIBA INA KIFUNGU KAMA HICHO? KATIBA IJAYO ISIWE HIVYO KIKAONDOKE NDO UFALME WENYEWE WA RAIS KWA KATIBA HII. BUNGE NA MAHAKAMA KAMA WATOTO TU WA SERIKALI!
Back
Top Bottom