Hili swala sijui limekaaje kisheria maana madereva na wafanya biashara wote wa madepot za mafuta na bandari .-biashara zime zorotaa baada ya munzani uliopo pale shimo la udongo (kurasini) kusababisa foreni..
Baazi ya maderava wana sema maofisa wa pale way bridge wanawatoza rushwa kwa kuwaambia...
Mkewe alifariki usiku wa kuamkia tarehe 1st November wakati Mr. The late Dr. Reginand mengi alifariki usiku wa kuamkia 2nd May. .
Mungu azilaze roho za marehem mahala pema peponi.
Ameen
Aasalama ndugu zangu wana Jf.
Mm ni muhanga wa mafuliko sehemu nilipo kua naishi awali ambapo niliingizwa mkenge na madalali. Hivyo nimeamua kulifikisha hili mbele yenu kupata msaada wa zarura..
Naitaji chumba na sebure...
1.Mji>Dar es Salaam(Priority ni Ubungo au Kinondoni ).
2.Eneo liwe...
NMB ni wahudumu wenye ukarimu na uweredi katja utotuzi wa msaada kwa client wake..wamenisaidia sanaa..nilienda CRdB bank wamenizungusha sana mara kalete affidavit as to names mara barua ya mtendaji mara cheti chakuzaliwa...wanaboa sanaa..alafu at the end of the day.
Wanakuja kuniambia tunataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.