Atakaeanzisha atawekewa vikwazo mpaka aombe samahani.....hii nchi ukiwa na nia nzuri nyundo zinakuhusu....kuwa utaaribia watu business yao ya internet.
Sema wew hutaki kuelewa......halafu inaonekana ni mbishi.....nimekufafanulia vizuri hapo, mambo ya sadaka yalivyo na hata sasa ni matokeo ya sadaka ile ila sio kwamba hatuna dhambi.
Nimeshakujibu inabid upate somo kuhusu sadaka.....and how it works....hiyo mambo haijaanza jana au juzi baada ya kuja Jesus....ni kitu ipo tokea kuumbwa kwa dunia hii....
Kuna vitu vingi hujui kuhusu sadaka......kasome law of karma.... everything in this world require a sacrifice.
Ndo maana tokea zamani manabii kam mussa, Ibrahim na wengine walitoa sadaka, yale hayakuwa maigizo, it's the universe law since then.....na hata sisi kutoka katika adhabu za dhambi...
Kwahiyo wew unamaanisha mitume na manabii wote waliowahi kuwepo duniani hawana maana au ni waongo......cause wote walifanya kazi sawa na Jesus Christ.
Au kosa hapo ni kuitwa mwana wa mungu??
Hiyo ni company ya usafi, makao yake makuu yapo Dodoma, sas kuna kazi wamepata ndo wanatafuta hao watu kuziba hizo nafasi.
Halafu kuna namba hapo ni vyema mkapiga kwa ufafanuzi zaidi mi nimeshare tu
FLEX ENTERPRISES LIMITED ,well reknowned Company is looking for the following people for Vacancies.
1.Administrative manager-1
2.Housekeeping managers-2
3.Marketing Managers-2
4.Housekeping Supervisors-5
5.Housekeeping Attendants-50
Please send your applications to the following email address...
Knowledge is power Africa tunafeli sana kwenye uongozi, kujibidiisha, ubunifu na mengine mengi. Mfano kwa nchi kama Nigeria yenye matajiri wengi weusi kuliko nchi yoyote duniani wanafanya kazi kwa bidii sana sema kinachowaangusha ni uongozi na maridhiano ya kitaifa ndo maan wanateswa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.