Oscar Mkoba, hii ngoma Jagwa walimuimbia mshkaji wao baada ya kupigwa mapanga na kufariki dunia. Ila kwa wadau mnaojua kwa kina naomba mnifahamishe chanzo cha mshkaji kupigwa mapanga hadi kupelekea kufariki dunia.
Huzuni na majonzi, Yalotufika sisiiii
Kwa kuondokewa na mshkaji wetu, Oscar mkoba...
Namkumbuka huyu jamaa tangu enzi tukiwa Mugabe Primary school, tulivyofika darasa la tano alichaguliwa kuwa kaka mkuu na sisi tulikuwa viranja wa zamu. Nilipenda sana kuimbisha wimbo wa taifa hata kama haikuwa zamu yangu.
Awali ya yote, baada ya kutoka ITV alihamia clouds kisha BBC ndipo akaja...
Ilikuwaje Charles Hilary kuondoka BBC idhaa ya Kiswahili na akakubali kujiunga na Azam Media? Hata Baruan Muhuza?
Mwisho wa yote ni maslahi ndio yanamuamisha mtu kutoka eneo moja kwenda jingine na sio zaidi ya hapo.
Klopp anacheza mpira wa aina yoyote unayoitaka, refer game ya kwanza pale Camp Nou jinsi mlivyoutafuta kwa torch mpira.
Na mlivyoenda Anfield akawachezea mpira tofauti na wa mwanzo. Mlimiliki yeye akashinda.
Klopp ni master.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.