Usilolijua ni usiku wa giza Mkuu huyo msanii kafanya kazi na clouds kafanya kazi na bongo records anakijua anachokiongea usimbishie tu km wewe hujaona pande zote za shillingi..
Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
Mara ya pili ukienda chukua smartphone yako ingia kwenye website ya TRA kwenye magazine yao wameweka bango kubwa kuwa TIN BURE so muonyeshe officer hiyo sms..ili ajiassess.
Ungewahi ungeomba Amnesty ili uondolewe malimbikizo ya penalty na interest hvyo hakuna jinsi utabid ulipe kodi na penalty plus interest zao lakini unaweza kutumia Tax consultant akusaidie kaika kucalculate interest halisi maana TRA wanaweza kutumia rate ya zamani wakati BOT washafanya amendments...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.