Search results

  1. J

    Dudubaya amjibu Mwakyembe, azidi kumshukia Ruge Mutahaba

    Usilolijua ni usiku wa giza Mkuu huyo msanii kafanya kazi na clouds kafanya kazi na bongo records anakijua anachokiongea usimbishie tu km wewe hujaona pande zote za shillingi..
  2. J

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
  3. J

    Nimeingia TRA nimeambiwa TIN laki na nusu. Je, wako sahihi?

    Mara ya pili ukienda chukua smartphone yako ingia kwenye website ya TRA kwenye magazine yao wameweka bango kubwa kuwa TIN BURE so muonyeshe officer hiyo sms..ili ajiassess.
  4. J

    Nataka kufahamu matumizi ya TANCIS

    AUTOMATED SYSTEM FOR CUSTOMS DATA
  5. J

    Tra wanatusumbua

    Ungewahi ungeomba Amnesty ili uondolewe malimbikizo ya penalty na interest hvyo hakuna jinsi utabid ulipe kodi na penalty plus interest zao lakini unaweza kutumia Tax consultant akusaidie kaika kucalculate interest halisi maana TRA wanaweza kutumia rate ya zamani wakati BOT washafanya amendments...
Back
Top Bottom