Search results

  1. D

    Jipatie till za M-pesa, tigo-pesa na airtel kwa bei poa kabisa

    Kama nyaraka hizo inazo mkuu njoo PM
  2. D

    Jipatie till za M-pesa, tigo-pesa na airtel kwa bei poa kabisa

    Hizo Till zina documents zote yaani Tin, leseni na kitambulisho cha jina linaloonekana kwenye hizo Till?
  3. D

    Hadi leo tarehe 23/7/2017 mshahara bado!

    Wengi wameingiziwa jana ndugu,kama bado jitahidi kesho muone afisa utumishi wako atacheck kwenye system. Pole Sent using Jamii Forums mobile app
  4. D

    Pwani: Mwingine apigwa risasi mchana huu Mkuranga

    Mungu awaepushie na janga hili km taarifa ni za kweli
  5. D

    Ziara ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa mkoa wa Mara (Serengeti,Tarime)

    Hizi ni dalili njema kwa wapenda mabadiliko,pole kwa wale wasiopenda.
  6. D

    Mwalimu wa kubadilishana idara ya elimu sekondari

    Nipo iramba nataka mtu wa kubadilishana mimi niende mbeya jiji yeye aje iramba idara ya elimu sekondari. Tuwasiliane 0787864236
  7. D

    Mwalimu wa kubadilishana idara ya elimu secondari

    Nipo SIKONGE TABORA NATAKA KWENDA WILAYA YA NJOMBE,AU RUNGWE AU BUSOKELO. Kama upo tayari tuwasiliane 0787864236
  8. D

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo iramba idara ya secondary nahtaji mtu wa kubadilishana aje iramba nije mbeya jiji. 0787864236
  9. D

    Nna mdogo wangu kasoma Bsc of EDU (BIOLOGY & GEOGRPHY

    Avute subira,wizara ya Elimu kwa vyovyote vile hii february wataajili tu lakini kama hana mpango na serikali basi ajitahidi kutuma applications kwenye private nyingi kabla hii february haijaisha na naamini kwa hilo somo la Bilogy atapata kazi mapema
  10. D

    Hellow

    Karibu jamvini na karibu kwa kutoa michango ya maana yenye kuleta tija kwa wana JF.
  11. D

    Uwiano wa nafasi za kazi na watu wakufanyiwa usaili.

    Ni vema waka shortlist watu wachache kuliko kuwa na idadi kubwa ya watu alafu matumaini yanakosekana kabisa.Jambo hili ni mhim likaangaliwa kwa umakini mkubwa kwa sababu kinachofanyika ni kuwapotezea watu mda mwingi na gharama kubwa.
  12. D

    Mshahara kuchelewa

    Ni utamaduni wa kitanzania tu kuto jali kwa sababu mishahara huwa na budget yake kwa mwaka mzima sasa haiingii akilini kabisa kuwa mwajiri hana pesa ya mishahara.Fuateni taratibu za kisheria kwa mjibu wa mikataba yenu ya ajira.
Back
Top Bottom