Donald Trump: “There Is No Shortcut To Maturity, Africa Should Be recolonized
Speaking yesterday in Nebraska, Trump said that Africans are slaves living like slaves in their own land yet they claim they are independent.
Trump was responding to a question by a South African journalist on whether...
Kinachonisikitisha zaidi, ni kuwa hawa wageni, sijui wanapataje work permit hapa Tanzania na kiburi cha kuwanyanyasa wazawa sijui kinatoka wapi? Unakuta mtu hajui kazi lakin kwavile tuu yeye ni mzungu basi hata maamuzi ya kipumbavu anasikilizwa. Ningeiomba serekali ipitie upya hasa kampuni...
Hapa kazi ni lazima , mapungufu madogo madogo ni ya kurekebishana na kusameheana, lakini inchi hii ilikuwa inataka mbabe ili watu wanyooke. Sasa hizo ni side effects za hapa kazi tu
pumba zote hizo usitete mambo usio yafanyia research.mnaongea kama vile mnatapika,pumbavu yes kumetokea milipuko, badala ya kudiscuss milipuko mnadiscuss udini. Huyo LEMA ndio anavyowadanganya, na atawalemaza wana arusha.
Watanzania msipoweka udini pembeni nadhani mtafika pabaya kwa hali hiyo yakumpenda mtu kwasababu ya dini fulani.mtu unaulizwa ZITTO VS SLAA nani bora , badala kutaja kuchangia mada ya ubora unachangia mada ya udini, huu ni upuzi mtupu
:flypig:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.