si amini kama mwana JF anaweza fikiri na kuamini eti Prof ktk capacity yake anashindwa somesha mtoto wake ati anahongwa kusomeshewa mwanae,mtoto yule ni msomi wala siyo mbabaishaji wala siyo mzembe kama coconuts tusemee mengine yenye tija kwa taifa kama hamna tukae kimya tusikilize kwa...
<br />
<br />
mbu wa kwenye compound yenu hawazi ruka km 2 inakuwa ni mifugo yako mwenyewe na vivvyo hivyo na jirani yako ana mifugo yake mwenyewe,nakushauri angalia possible angles za mazalia ya mbu eneo lako fumigate mshauri na jirani yako naye aondoe mazalia ya mbu,Serikali ya CCM...
kwa kuangalia juujuu utaona director1 hakufikiri,lakini tukubaliane kuna makabila hayana system za utawala ambapo kiongozi alisimama na hata mababu zetu wakaendesha familia zao kwa mpangilio na ikawa ni sehemu ya maisha ya watu fulani.tumejionea viongozi mbali mbali na tofauoti zao fuatilia...
Unajua kinachoendelea hapa Tanzania ufisadi, kulindana katika maovu, ili hali watanzania wanaendelea kupata shida kila kukicha na hakuna mtu aliye diriki kumwambia mfalme Juha kwamba yuko uchi.
Tunaendelea kushangilia, hata tukae barabarani NATO hawezi ku support kwani marekani mafisadi...
Kwa mara yangu ya kwanza Tanzania chuo kinafungwa sababu mkuu wa chuo na walimu wahihitilafiana wanafunzi waahirisha masomo.naomba ufafanuzi kwa wanaoelewa jambo hili
hizo ni wa mafungu marefu kwa wale ukipata ka semina unataka kubana matumizi,zipo lodge guest house cheap around stadium chakula kuna restaurant ya Himo
mchangamfu ana vision ya maisha kwenye shughuli gogo tu,unainjoy nini na mafanikio yako kwenye shughuli yupo yupo tu,no body is perfect anazaa hazai?wacha maneno hayo baana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.