Wakuu nauza TV aina aborder
Ina double glass yani vioo viwili,,cha nje kikivunjika kinabaki cha ndani
Ina msitari kidogo tu hapo chini
Bei ni 230000
Dar es salaam
0762693368
Wakuu nauza TV aina aborder
Ina double glass yani vioo viwili,,cha nje kikivunjika kinabaki cha ndani
Ina msitari kidogo tu hapo chini
Bei ni 230000
Dar es salaam
0762693368
Wakuu nina biashara ya mchele pamoja na mpunga huku mkoani Tabora.
Gunia la mpunga kwa huku nauza 70000
Mchele nauza 1300 kwa kilo kwa huku
Nipo Nzega Tabora
NB:Mchele wa Tabora na Shinyanga ni mtamu na mzuri sana ingawa unaoamika zaidi ni wa Mbeya
Call: 0762693368
Whatsap: 0762693368
Rafiki angu aliniita kulikuwa na dili la kujenga,kipindi hicho nimemaliza tu chuo,kufika site tukapiga kazi huku nikiamini saa 12 jioni nitavuta elf 5 yangu ya chips mayai na soda,maana hapo nilikuwa tabora saidia fundi huko wanapewa elf 5,kufika jioni mwenye nyumba kaja,kaanza ingiza vitu vyake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.