Habari,
Achana na tatizo la umeme hilo lipo nchi nzima. Hapa natoa pongezi kwa maboresho yaliyofanyika kwenye suala la kuomba kuunganishiwa huduma ya umeme. Inawezekana maboresho yapo nchi nzima lakini mi naomba nizumngumzie na niwapongezi wale walionihudumia na nikarishika.
Niliomba...
Yanga ilipozindua ilimpelekea Rais ikampa iliandikwa jina vip uliongea haya unayoongea? Hakuna kiongozi wa kisiasa aliyepewa. Amepewa Rais na Makamu wake na wote waliopewa wamepewa kwa nyadhifa zao za kiserikali na sio chama. Ndio maana baadhi ya waliopewa kama Tulia anajulikana ni Yanga lkn...
Mkeo anashindwa kukuambia tu, ukweli ni kwamba humridhishi. Anaona kufanya nawe ni kutiwa nyege na kuachwa hewani bora asifanye. Hana shaka kwamba utachepuka kwa sababu ana amini hakuna unachoweza fanya huko zaidi ya kuliwa hela. Hayo yote unayathibisha kwa kusema Huna mchepuko. Tatua tazizo la...
Binafsi kukiwa na mvua kuna harufu furani nakisikia kwenye gari. Nimechunguza kila sehemu hakuna shida. Hiyo filter kuna zaidi ya miaka minne sijabadilisha wala kupulizwa na bara bara zangu ni bonyoko, mbezi makabe na mpiji magoye
Mwaka mmojaniliota Africa kusini kwa mara ya kwanza. Nikiwa kwenye hotel ya five star nikaletewa menu ya msosi hakuna msosi niliouelewa zaidi ya ugali na pork rib (mbavu za nguruwe) nikaagiza. Nimeletewa kama nilivyoagizwa lkn nyama ya nguruwe ilikuwa na sukari nikashindwa kula kabisa
Kumekuwa na matangazo mengi kuhusu matibabu ya nguvu za Kiume kwa kutumia food supplements kama Agu, Mult Macca na nyinginezo. Nahisi wengi wetu tutakuwa tumezitumia na kuona ubora wake. Kwa kuwa uchumi umeyumba na ili kulindana wengi tulipie bila tija na kwa kuwa wapo ambao wameshazitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.