Nikianza Kuandika Experience Juu Ya Watu Ambao I Gave Them My All And Treated Them Like My Blood Family Lakini Mwishowe Ni Upumba.vu, Fitna, Majungu, Uhasidi, Lawama, Backstabbing Yani Inaumiza sana Nitajaza Hapa Essay Ndefu Na Nitawachosha.
In a nutshell my people nawasihi sana wapende na...
Wengine wanasema kule mabei kama yote…cz ilala well wale wengin ni importers ila huenda tandale ukapata cheaper (cz ni used in bongo)
Hapa natafta chimbo ikifaa hata contacts za wahusika niwacheck.
Thanks
Kwema Wakuu
Naomba kujuzwa spare parts za hii gari tajwa NISSAN HARDBODY J83 ENGINE QD32 napata wapi za mtumba imported na spare used za hapa hapa bongo (maana spare used za hapa bongo ni cheaper kdgo hasa kwa wale wanao kata na ku scrap magari)
Currently nahitaji cutter out za alternator za...
Biashara nzuri niliwahi fanya mwaka 2017 Mwenge, Dar es Salaam…..
Ujinga wa hii biashara ni rubber za pressure pump kufa mara kwa mara na haichukui week 3 na inazengua tena…..sikubahatika mafundi waaminifu na kila nikipeleka kwa fundi kkoo gharama za matengenezo na spare si chini ya 120,000...
Anza Kujenga Chief, Kimbiza Hadi Ufunike....then nunua gari then uendelee kumalizia mdogo mdogo....Bob ujenzi sio masihara ila usiogope pia inawezekana sana...i know what im saying, anza nyumba.
Braza watu tuna focus mbali (Mungu tu anijahalie umri mrefu [emoji1488]) ila tunaanza taratibu leo....kuna private office, study room ya madogo, top floor living room, laundry room, kitchen and store kwa nnje kuna underground ambayo ni gym na lounging area nikiwa na ndugu, jumuiya na wana...
Kuwa na Maono ya Mbali
Jenga nyumba kubwa ila anza mdogo mdogo hata ikichukua miaka 10 we target room 8 au 6 vyote master. Mimi ndio target yangu hii. Kiwanja cha slope ndio chenyewe cz unatoa underground.
Kwenye material simamia show mwenyewe mwa mwi. Naamini inawezekana. Epuka kujenga mara...
Umemshauri madini matupu. Nilitaka ni type hivi hivi. Na hichi ndio kina felisha wengi. Chukulia biashara kama mtoto alyezaliwa ana tambaa, anakaa, ana tembea kwa kujishika na kuanguka kisha anatembea....kishaa anaanza shule... nursery, hatimae la 4,7 na kuendelea.
Biashara yeyote, its a process.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.