wote ovyo cjui tahliso cjui mkubox cjui chuo gan. badala ya kuajadil mfumo wa kuleta pesa chuon na proces zake za kusain znavyo chelewesha. upuuz nyie watu mucobs mnaleta siasa.piga chni ovyo
aisee hii ndo tz udom wengne hata bum la kwanza bado wanaambiwa wako batch ya kumi na nne afu mpaka kusaini hv mbna vyuo vngne hii issue ya kusaini mwaka wa 3 n 2.mbna haipo
kunywa chai.kupiga picha na baba miraji. Kukutana na luhanjo kabla hajastaafu na kuangalia pango la walanguz lilojengwa na wajeruman. Chama cha wananch oyeee
mathubuti. Neno la kiswahl kwenye kamuc ya tuki lenye maana imara iciyoyumba wala kuyumbshwa.sa hawa jamaa wameanza kuyumba tangu mambo ya ubnafcshaji yaanze na kina wazr kigoda na kuruhusu exproitatn of resources ambazo JK wa ukwel alisema tusubir mpk tuwe na uwezo
anti virus noma. Me namuomba sugu awaeleweshe kina barnaba.mwacti.rina mataluma. Benpal na wote kwamba hlo jamaa la ccm linawaibia maisha yangekuwa mbal km co wiz wake chakufanya wampige mawe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.