Wajuzi wa mambo naomba mtusaidie kujua nini hapa kinachosababisha bunduki kuchelewa kutoa sauti kabla ya risasi kutoka.kwa uwelewa wangu nilikuwa najua sauti inatoka kwanza kabla ya risasi kufika eneo husika,kumbe sivyo nijuavyo mimi nasikia risasi ukishafika kwenye target sauti ndo inafata
Wakuu naombeni mwenye kujua upatikanaji wa passport ya muda maana nina safari ya kwenda msumbiji kukaa mwezi 1. Naomba pia kujua na vigezo vyake maana naona passport kubwa itanichelewesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta mwanamke mwenye kujielewa ili awe mpenzi wangu
Sifa-:-
1) umri kati ya 25 mpaka 45
2)ambaye yupo tayari kucheki afya(yani tukapime wote)
3)mwenye kazi yake au biashara
4)mwenye watoto(maana napenda sana watoto)
Naomba njoo pm weka namba tuwasiliane.mi nipo dar es salaam,nina miaka 30...
Yawezekana kweli tuna upendo wa dhati kutoka moyoni lakini tamaa ya mwili imekuwa ugojwa mkubwa wa akili za maisha yetu.
Tumekuwa watu wa kupenda pale tunapowaona,lakini uwa tuna wadharau pale tunapokuwa nao,baadae tunawachukia pale tunapowakosa.
Tumekuwa watu wa kuzoea makosa yetu pasipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.