Iko kibanda umiza ni cha mitaa ya wapi mkuu!!
Mbona vya huku kwetu TV zipo juu,hawaruhusu sigara na vingine mabenchi yanakua marefu kadri umbali kutok kwny TV unavyoongezeka
Atakua na matatzo yake huyo
Alaf kuna hizi adabu za kiislam "kutoa salam kwa sauti kubwa kwa mtu alie mbali si katika adabu" ni vyema umsogelee au utafute wakati mwingin ukutane nae ndipo mpate kupeana salamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana....kama kutakua na kigongo cha kutupatia usingiz mororo tupatie tu maan hizi dozi zinatibu shida karbu zote ktk awamu hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kulubule wakati wengine wakienda kupata furaha na wapendwa wao tushushie angalau vigongo viwili ili tuende nao sambamba....natanguliza shukran zangu za dhati kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu kwny ulingo wa visu bisibisi na mapanga
Jitahidi kuwahi kurudi kabla ya saa 5 usiku
Usiwaamini bodaboda usiku pindi uwapo barabarani peke ako hasa ukiwa na kamzigo kenye kuashiria thamani mgongoni(begi lenye laptop n.k)
Jitahid kufunga geti au mlango wako mida ya usiku(hapa unajihadhari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.