Ila roma kwenye top 3 yako yumo
Afu ukimuuliza roma anakwambia bado anajichua kufika lvl aliyopo q
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we wa early 20’s
Habari wana jamvi
Poleni kwa shughuli nzito ya kujenga taifa
Naomba kujulishwa kuhusiana na mitumba kwa mnyumbuliko huu
Baro la mashati grade 1: a)bei
b)kg
c)piece zinakaa ngapi/
yaani idadi
Pia ya nchi gani ndo ina soko hapa bongo
Asante sana, na kuna ka usemi kwamba dodoma hela nguuumu! Kuna ukweli hapo maana umegusia gharama ya maisha. Nitaenda pia ila sio mbaya kupata habari zitakazo saidia toka sehemu tofautitofauti an wewe umekua sehemu moja wapo an unanipa taarifa za muhimu kusema kweli na unakua short and clear...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.