Jana nimetoka kulipia mabadiliko ya namba za pikipiki mpya kutoka zile za zamani. Cha kushangaza ni kwamba unapaswa kulipia elfu kumi kubadili namba na ukifanya hivyo kadi yako mpya inatoka imeandikwa commercial na kuirudisha iwe normal\private unatakiwa ulipie elfu kumi nyingine.
Nimewauliza...
Nimezoea kwenye madishi makubwa kwenye channel napata radio ila dstv kwenye audio ndo unashika radio ila sijawahi pata za kitanzania.mweye ufahamu nataman kushika radio za kibongo via dstv inakuwaje kama inawezeka? nijuzeni
ila jambo la kuweka grid ya taifa sehem moja ni hatar kiusalama.ikitokea al shabab wakapiga ubungo mungu epushia mbal isitokee. ikitokea hvy maana yk tanzania nzima giza. hebu serikal chukuen tahadhar
Nina Samsung window SGH-i917 window phone 7 AT&t h haiwez kudownload whatups na application nyingine. Ukitaka hata kuweka hata fedha application haziwwi active
Shirika la tanesco hivi karibuni limeongeza bei kwa unit hivyo kuongeza gharama za maisha.mojawapo ya sababu zinazotolewa juu ya kuomgeza bei ni kuboresha huduma na kufanya mapinduzi kulifanya shirika linalotengeneza faida. Cha kushangaza hawa wanaoelekea kuwa wafanya biashara watakaotengeza...
Kipi hakielewek unaweza kuwa na gari ya ofisi ukaona ni bora uwahi kufika na ndege then gari ikukute huko. Si unajua mambo ya kuwek sawa mambo lazima kuwahi
Mji wa Ifakara ni mojawapo ya miji ininayokuwa kiuchumi na iko wilaya ambayo ina vyanzo viwil vya umeme kigahansi na kidatu cha kushangaza umeme unakatika kila iitwayo leo na kbila taarifa kwa muda mwngi kisingizio ni matengenezo. Hv kwel tuna uongozi wa wilaya? na meneja wa tanesco anafanya nn...
Serikali ya Tanzania kwa kushrikiana na Serikali ya Uganda watajenga bandari ya Mwambani mkaoni Tanga. Sambamba na ujenzi wa bandari kutakuwa na ujenzi wa reli kutoka bandarini kuelekea mpaka bandari ya nchi kavu ya Musoma. Wananchi waliahidiwa kulipwa fidia kupisha ujenzi wa bandari na reli...
mi nawashangaa ccm wanashindwa kuchukua simple logic waliopiga juzi na chaguz zote za hivi karibun ni wale walioandikishwa 2010 tena wengi ni wazee na bado kuna matokeo chanya mengi kwa CDM. subirin daftari jipya na vijana wote hawa wawe kwenye daftari uone mzik wake
wakat wa bunge la bajeti waziri mwakyembe kwenye bajeti yake alitoa ahadi ya utekelezaji wa miradi ikiwemo malipo ya fidia kwawananchi kupisha ujenzi wa reli eneo la tangasisi Tanga pamoja na usafiri wa treni. kwa mdomo wake aliahid kulipa wananchi mwezi wa tisa na usafir kuanza mwezi wa...
toka zaman enzi za chama kimoja umoja wa wanawake wa CCM wamekuwa wakiuuita umoja wao UWT sasa ni vyma vingi imefika mahali wauuite UWCCM Kama ilivyo UVCCM .INAUDHI mkiendelea kuita UWT
Hivi ni mimi peke yangu au kuna wengine wanaodhani kwamba wanafunzi nao kuandamana ni ujinga tu...
SERIKALI imelazimika kutumia Jeshi la Polisi katika harakati zake za kudhibiti mgomo wa walimu ambao jana uliingia katika siku yake ya pili, huku maandamano ya wanafunzi yakiendelea katika...
angalia wajumbe wa kamati tuhumiwa linganisha ni wangap wamepewa kazi ya kuhukumu
Local AuthorityAccounts
Photo
Fullname
Political party
Position
Mrema, Augustino Lyatonga
TLP
CHAIRPERSON
Azzan, Idd Mohamed
CCM
DEPUTY CHAIRPERSON
Mchuchuli, Kuruthum Jumanne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.