Mi huwa najiuliza sana, hivi Mungu akikuonyesha unabii kuhusu pending disaster, maana yake nini? Je tukae tusubiri litokee halafu tumshukuru Mungu kwa kutuonyesha janga hilo au ndio muda mwafaka wa kuomba rehema ili Mungu atuepushe na janga hilo!
Inanipa shida kuona Mungu anamfunulia mtu kitu...
Kuanzia kwa mtoa mada na wewe mchangiaji, hakuna yoyote mwenye hoja yenye mashiko. Unatamkaje kwa mamlaka wakati tamko unalotoa halina utekelezaji wenye tija? kwenda au kutokwenda hakuna jipya. Bora afanye ziara France au Netherlands au hata Nchi za Scandinavian kuliko UN.
What is the impact...
Aisee hili wazo ni kubwa saana, Nadhani tafuta manufacturing business consultants au zama kisiri kwenye viwanda ulivyotaja ukiwa kama kibarua, hii itakusaidia kujua 2,3 ya uendeshaji wa viwanda hivi. Hapa Utapata ushauri ila sidhani Kama utakidhi mahitaji
Huu mjadala ni subjective, wote waliowahi Kufanya hivyo wanatetea na wasiowahi wanapinga. Mi niko upande wa wanaopinga, huu mlango wa zinaa na uasherati unafungua backdoor nyingi sana ambazo huleta shida kwenye familia Mpya pasipo wengi kujua mlango uliosababisha shida hizo.
Nashauri tu, hakuna...
Kabisa kiongozi, wabongo sijui akili zetu zikoje, watu ni wavivu sana wa kufikiri. Yaani hata kuwaza nje ya box wameshindwa. Kimsingi mtandao wowote unaoutumia unatoa taarifa zako kwa mamlaka iliyopo madarakani na hii ni tangu enzi za Mkapa. Sema watu wanaona kama imeanza leo kwa kuwa huko nyuma...
Kwa ufahamu wako uchumi unafanyaje kazi. Economics is a multidisciplinary field. Sio kila mradi unaoona wewe unafaa basi unakuwa unafaa kwa wote. Economic decisions are made based on the prior and existing information, which may be readily available or not. Hata wewe ungekuwa Rais Kuna maamuzi...
Hizi FDI mtoa mada ni za kuziangalia kwa makini. Hizi ni subsidiary firm ambazo zinahitaji makubaliano ya pande mbili ili kuwe na mutual agreement. Sasa kama Serikali haioni manufaa makubwa Kwake inayo haki ya kukataa.
By the way miradi mingi ya namna hii iliyopo hapa Nchini haiachi faida kubwa...
Hesabu sijui zikoje lakini naona Msingi mzuri unachangia kuzipenda. Enzi zangu nilijitahidi sana kuzisolve hesabu lakn sikuwahi fanikiwa. Nimejiuliza swali kama la mtoa mada mpaka basi. Na kwa bahati mbaya ukichukia hesabu Kuna uwezekano wa kuchukia Kemia, fizikia, uchumi n. k, maana akili...
Comeon!!! hata kama unampenda vipi, unafanyaje kazi na mtu anayepanga propaganda kinyume chako? haya matokeo yako very obvious given the recent released audio [emoji345] clips ambazo hawajazikanusha.
Kwa muono wangu, alichofanya Rais hakiepukiki. Kwa kweli Kufanya kazi na mtu anayeplot ajenda kinyume chako tena kwa siri huku akisaidiana na watu wakubwa na wenye ushawishi ni kazi sana. Hivyo, pamoja na mazuri ya January, hakuna namna angebaki baada ya hizi clip kuvuja.
Hii ni reality ya...
Nchi zipi kiongozi, wakati Nchi nyingi zinazoitwa za kidemkkrasia, hii teknolojia ndio imetamalaki. Sema tu kule wanadukua kwa ajili ya ulinzi, na kilichodukuliwa kinabaki Mali ya vyombo vya usalama. Lakini nadhani umeona ama kusikia kuhusu kashfa ya Bi Clinton 2016, Uk ambassador to US Mwaka...
Hofu inaleta mauti, hiyo message ni matokeo ya system applications kujaribu kuomba ruhusa ya Kufanya update kwenye simu yako. Inaweza kuwa android OS au applications nyinginezo. Hivyo ondoa hofu, kwanza unapodukuliwa huji kujua, utaona tu mambo hadharani.
Na ingekuwa ukidukuliwa unapewa...
Kwa hiyo unatakaje? Hayo mambo ni relative and subjective sana, sijui kwa nini kinachokutokea unadhani kinatokea wote. Kama unaogopa kugongewa wa mbali wakati watu wanaishi pamoja na bado Kungongew a kupo pale pale. It's all in your head.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.