MGOMBEA urais wa CCM leo ametua katika wilaya ya TARIME na kukutana na dhahama ya wagombea wake wa UBUNGE kuzomewa ovyo katika majimbo yote mawili jimbo la TARIME VIJIJINI analogombea ndugu CHRISTOPHER RYOBA KANGOYE hali ilikuwa si shwari baada ya kangoye kuzomewa na watu kuimba kuwa...
Ndugu wanabodi taarifa za uhakika zinasema mbunge wa NYAMAGANA EZEKIEL WENJE na aliyekuwa mwenyekiti wa vijana CHADEMA Taifa ndugu JOHN HECHE wanashikiliwa na jeshi la polisi Mwanza kwa kosa la UCHOCHEZI na kumtukana mkuu wa mkoa wa Mwanza Ndugu MAGESSA Mulongo. Mpaka sasa hawajatoka na...
TAARIFA ZA UHAKIKA
Mkurugenzi wa jiji la Mwanza ndg. HASSAN IDDA umakini wako na kutofuata maelekezo utanusuru vurugu kutokea kwenye jiji bila
chanzo cha vurugu hichi hapa baada ya viongozi wa CHADEMA jimbo la Nyamagana wakishirikiana na mbunge mh. Wenje kupokea orodha ya majina ya wapiga...
Hali si shwari kwa viongozi wa CHADEMA mkoani hapa kufuatia mlolongo wa matukio ya kinyama yanayowakuta viongozi wa CHADEMA ngazi mbalimbali wakiwemo wawakilishi wa wananchi kwa tiketi ya CHADEMA
Leo tarehe 20 -11-2014 amechinjwa katibu wa CHADEMA tawi la ROSANA ndugu MATIKO MAKENGE...
KUANZIA TAREHE 18-10-2014 kumekuwa na misuguano mikubwa katika vijiji vingi TARIME baada ya wananchi wengi kugomea watendaji wa kata na wale wa vijiji kuwa hawako tayari kuchangia mchango wa maabara unaokisiwa kuwa kiasi cha tsh 17000-100000 kila kaya uliopangwa na serikali mbalimbali za vijiji...
Wana Jamvi
mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Tarime amezomewa na wapiga kura wake kwenye mkutano,
hiii imetokea kwenye kata yake ya sirari alipojaribu kuwambia wananchi kuchangia kiasi cha sh10,000 hadi 50,000 za kujenga maabara za shule za sekondari kila kata
====================...
NDUGU zangu watanzania
hii akili na nguvu kubwa wanayotumia polisi kulinda wahalifu ili tusiwahoji mchana inatupatia maswali mengi ya kujiuliza kama WATANGANYIKA kwa mtazamo wangu na watu wangu wote wa mkoa wa mara nimeletewa rundo la barua za kuzuia maandamano kila jimbo na wilaya sijaona...
KATIKA hali iliyoashiria kuweweseka aliyekuwa mbunge wa musoma mjini enzi hizo ndugu VEDASTUS MATHAYO MANYINYI amejaribu kufanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya MKENDO wakiwa wameambata na jopo la viongozi wa CCM mkoa na wilaya.
Wamefanya mkutano mkubwa wa hadhara uliokuwa na watu...
KWA MUDA HUU WA BREAK YA BUNGE MBUNGE KIPENZI CHA WANANCHI WA MUSOMA VINCENT NYERERE akishirikiana na uongozi makini wa CHADEMA mkoa wa mara na wilaya ameonesha mfano wa kuigwa baada ya kutekeleza zake alizoahidi kwa asilimia kubwa huku akifuta utaratibu wa zamani uliokuwa ukitumiwa na ccm hapa...
makamu mwenyekiti wa kamati ya uenezi kanda ya mgharibi
DEOGRATIUS LIYUNGA aliyeshambuliwa kwa kuchomwa visu na kukatwa na nyembe katika sehemu mbalimbali za mwili amesafirishwa kwenda hospitali ya taifa ya MUHIMBILI baada ya afya yake kuendelea kuzorota
akizungumza mjini kigoma katibu wa...
NIMEMSIKILIZA SANA leo mwenyekiti wa BAVICHA CHADEMA ,JOHN HECHE akizungumzia maswala ya katiba mpya na msimamo wa chama chake CHADEMA
katika yote nimeshangazwa na yeye kutoonesha kutetereka na kauli za mwenyekiti wa temeke huku akimwita pandikizi kongwe na zoezi la yona kupinga chama chake...
picha
Akiwa IGUNGA jioni ya leo mwenyekiti wa BAVICHA TAIFA ndugu JOHN HECHE amewaomba wananchi kwa kila mwenye pumzi aiunge mkono rasimu ya pili ya katiba na kudai kuwa CCM wanaipinga kwa nguvu kwa sababu iko upande wa wananchi zaidi ya kuwa upande wa CCM na serikali yake ndiyo maana...
CHAMA cha siasa kinachojulikana kama ACT jana kilianza kazi rasmi ya kuvuruga mwenendo wa kisiasa ndani ya mji wa tarime imefahamika
Taarifa za kuaminika zilizotufikia zinaonesha kuwa jana wajumbe wasiojulikana nyadhifa zao waliotambulika kwa majina tu walionekana majira ya saa 11 jioni mpaka...
Heche aipasua CCM nyamongo avua gamba visiki vyao, aahidi kupigania wana Tarime na watanzania wote. Aionya polisi juu ya ubambikaji kesi kwa wananchi na aomba orodha ya watu wote waliobambikwa kesi.
fukuto la kutokuwepo kwa uelewano wa ama kutokukubali kwa chama cha mapinduzi CCM kuongozwa na vyama vingine hata kama fursa zinaruhusu zimeendelea kutapakaa baada ya ARUSHA,ILEMELA
sasa limehamia tarime baada ya halmashauri ya wilaya kugawanyika kuwa halmashauri ya mji wa tarime na halmashauri...
CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA SERENGETI KWA KUSHIRIKIANA NA UONGOZI WA CCM MKOA NA MAKATIBU WOTE WA CCM WATOKANAO NA ccm MKOA WA MARA
baada ya kuonekana kuyumba na kutokubalika vyema kwa wananchi katika kampeni za kugombea udiwani zinazoelekea ukingoni hivi sasa wamepanga yafuatayo
1...
Wana JF
Najua na naamini kuwa migogoro haijengi na sio mizuri kwenye chama hata familia,
Bw Mwita Waitara anapalillia migogoro CDM Tarime, amemtuhumu Heche na Makao makuu kuwa chanzo cha yeye kushidwa tarime 2010, nashangaa kuwa huyu bwana bado anasaka wachawi wa yeye kushidwa uchaguzi huo
Je...
KATIKA hali ya kuonesha dhamira ya wazi ya kutovumiliana leo majira ya saa 8 katika ofisi ya CHADEMA wilaya ya TARIME kumetokea malumbano kati ya viongozi wa wilaya waliokuwa na kikao cha kawaida cha kujadili maswala ya chama na upande wa ndugu MWITA WAITARA AFISA SERA NA UTAFITI CHADEMA MAKAO...
wana JF
Kwa habari nilizopa hivi punde ni kuwa baraza la mazingira Tanzania (NEMC) limeifunga Hotel ya Double Tree ya jijini Dar es salaam kwa kosa la kutiririsha maji ya kinyesi BAHARI YA HINDI.
>>>>>>>>>Story<<<<<<<<<<<
Na Lulu Mussa na Ali Meja
Waziri wa Nchi wa Nchi Ofisi ya Makamu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.