USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
NIMEMSIKILIZA SANA leo mwenyekiti wa BAVICHA CHADEMA ,JOHN HECHE akizungumzia maswala ya katiba mpya na msimamo wa chama chake CHADEMA
katika yote nimeshangazwa na yeye kutoonesha kutetereka na kauli za mwenyekiti wa temeke huku akimwita pandikizi kongwe na zoezi la yona kupinga chama chake yeye analiona kama zoezi lilio la kawaida sana ambalo lilianzishwa na wakoloni wakati walipoona vyama vya kiafrika viko ukingoni kuwaondoa katika ardhi ya afrika
"ndugu mtangazaji CHADEMA imekaribia sana kunakostahili kuchukua nchi ndio maana unaona seriakli ya ccm inatumia sana DIVIDE AND RULE hii ni system iliyoanza zamani sana sio leo" mwisho wa kunukuu
huku akisisitiza kuwa yona lazima afukuzwe chama "NASHANGAA KWA NINI HUYU YONA " hajafukuzwa chama hata huko temeke alisisitiza
wakati huohuo akisema UKAWA lilikuwa hitaji la watanzania kwa miaka mingi wataendelea kuliboresha zaidi wazo hilo
katika yote nimeshangazwa na yeye kutoonesha kutetereka na kauli za mwenyekiti wa temeke huku akimwita pandikizi kongwe na zoezi la yona kupinga chama chake yeye analiona kama zoezi lilio la kawaida sana ambalo lilianzishwa na wakoloni wakati walipoona vyama vya kiafrika viko ukingoni kuwaondoa katika ardhi ya afrika
"ndugu mtangazaji CHADEMA imekaribia sana kunakostahili kuchukua nchi ndio maana unaona seriakli ya ccm inatumia sana DIVIDE AND RULE hii ni system iliyoanza zamani sana sio leo" mwisho wa kunukuu
huku akisisitiza kuwa yona lazima afukuzwe chama "NASHANGAA KWA NINI HUYU YONA " hajafukuzwa chama hata huko temeke alisisitiza
wakati huohuo akisema UKAWA lilikuwa hitaji la watanzania kwa miaka mingi wataendelea kuliboresha zaidi wazo hilo