Habari ndugu Wasomi wa humu.
Naandika nikiwa jimbo mojawapo la nchi ya China. Ninaomba msaada wa kisheria. Nilikata tiketi na kampuni Emirates mwezi wa tisa mwaka huu ya kuja hapa jimbo nilipo na kurudi Dar es salaam (Round Trip). Na katika makubaliano yetu ilikuwa wao kunichukua Dar es salaam...
Huko kwa ArmedStruggle bado ni mbali sana kwa mazingira haya. Bado Upinzani wanaweza kuwadefeat CCM kwa mbinu safi kabisa zisizohusisha umwagaji damu. Bado wanaweza.TRUST ME!
Wewe ndio umesema vyema. Huwezi shindana na muhuni kwa kutumia mbinu za kistaarabu, za kioga. Sugu alisema, "Dawa ya bishoo ni kuwa bishoo zaidi yake". Na hauwezi cheza mchezo huu ukiwa na watu kama kina Mashinji na Safari. Lazima mbinu na wachezaji wote wabadilike. They are too passive.
Unataka kuniambia hakuna mbinu mbadala inayoweza kuendana na haya yote?Kwa kuwa mkuu anabana basi na wapinzani nao wakae kimya wakisubiri kifo cha kikondoo, bila kupambana?Ndio maana ninasema CHADEMA na wapinzani kwa ujumla wanahitaji kubadili mbinu sio kulia lia na kulalamika kila kukicha eti...
Mkuu mbinu hizi sio mpya, lakini kipindi hiki zimefanikiwa kwa kuwa imekutana na upinzani dhaifu, wenye hofu na wasioweza kupambana.
Kama una kumbukumbu mambo haya aliyajaribu Ben baada ya uchaguzi mwaka 2000 lakini upinzani mkali toka kwa CUF enzi hizo ngangari ulisababisha anywee baada ya...
Nimeona malalmiko ya baadhi ya ndugu zangu wa CHADEMA kuhusu hii hama hama inayoendelea ya madiwani na wabunge. Nimeona ni vizuri nilisemee hili jambo maana kama lisiposemewa CHADEMA itapotea na hilo ni jambo la mwisho ambalo mpenda demokrasia yeyote hapa nchini angependa litokee.
Maana halisi...
Kwanza napenda ijulikane kwamba mimi ni Mlutheri, niliyebatizwa, nikapata kipaimara na hata ndoa nikaifungia KKKT.
Nimepitia waraka ulioandikwa na maaskofu wangu wa KKKT, nikausoma tena na tena. Kama muumini wao nikaona sasa ni muda muafaka wa kuwaambia ukweli wao kama baba zangu wa kiroho na...
Naomba nijue.
Kwa nini ukikatiza mbuga nyingine kama Mikumi haulipi gate fees lakini ukipita njia ya Arusha- Musoma unalipia zaidi ya 15,000 kwa mageti ya Ngorongoro (Nabi) na Serengeti (Ikoma).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.