Tunaomba ,afisa elimu msingi Wa Halmashauri ya wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro achunguzwe.tumelalamika vya kutosha na vyombo husika vimemfungia macho muda mrefu.tumechoshwa na vituko na unyanyasaji Wa walimu .
Leo siku ni sikukuu ya nane nane ametuandika ujumbe kuwa tuwe kwenye vituo vya kazi...
Sisi walimu Wa halmashauri ya wilaya ya siha tumechoshwa na vitendo anavyotufanyia afiselimu msingi Wa wilaya yetu.kila Mara ili ufanye kazi maalum au kuhama kituo lazima utoe kituo kidogo.hii imekuwa ni tabia yake miaka yote.posho tunayopewa ya uogozi lazima kila mwezi umatie kidogo vinginevyo...
Ni jambo la kusikitisha trafic polisi wilaya ya Mwanga mkoa wa Kilimanjaro wanasijificha na camera barabarani ukufika mbele unaonyeshwa umezidisha speed.Wachotaka ni rushwa 20.000 wanakuachia.
Hivi inakuaje trafic polisi anatumia simu yake kukusanyia pesa barabarani.
Kwanini Serikali isiweke...
Kwa hali ya kusikitisha mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru amekula posho za walimu wakuu na waratibu elimu kata kuanzia April 2018.kwa hali ilivyo walimu wamekata tamaa na wameamua kuweka mgomo baridi.
Jf imejaribu kufuatilia suala hilo ikagundua afisaelimu msingi wa meru ni shida na amezoea...
Katika hali ya kusikitishwa afisa elimu taaluma elimu msingi Moshi manispaa si amelipwa malipo yasiyofahamika na chama cha walimu Tanzania {CWT}.
Mwalimu huyo jina limehifadhiwa amekuwa akilipwa posho mbalimbali na chama hicho ilihali yeye ni mwalimu wa muda mrefu na hakatwi michango na chama...
Baraza la mitihani NECTA halijatoa vyeti kwa wahitimu waliomaliza kidato cha nne mwaka 2016.kila tukifika kwenye shule zetu tulizofanyia mitihani kuchukua vyeti tunaambiwa baraza hawajatuma. Tunakutana Na vyeti vya waliomaliza nyaka 2015.tatizo ni nini haswa. Baadhi ya shule zinasema baraza...
Baraza la mitihani NECTA hawajatupatia vyeti vya matokeo vya kidato cha nne kwa wale waliomaliza kidato cha nne mwaka 2016.kila tukifuatilia tunapigwa sound. Wanasema vitatumwa kwenye shule zetu tulizofanyia mitihani.
Tukifika tulikofanyia mitihani wanatuambia NECTA hawajavituma. Waliokwenda...
Jf. Kampuni ya heritage financing company limited iliyoko Arusha mjini inyokopesha mikopo kwa riba ya 100% imeendeleza kilio nchini kwa kuuza nyumba za watanzania bila kufuata taratibu wala sheria za nchi yetu. Kila kona wananchi wanalizwa. Ukifika mahakama yeyote hapa Arusha utakuta kesi zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.