Kibogoyio2020
Senior Member
- May 4, 2018
- 154
- 77
Tunaomba ,afisa elimu msingi Wa Halmashauri ya wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro achunguzwe.tumelalamika vya kutosha na vyombo husika vimemfungia macho muda mrefu.tumechoshwa na vituko na unyanyasaji Wa walimu .
Leo siku ni sikukuu ya nane nane ametuandika ujumbe kuwa tuwe kwenye vituo vya kazi na tutumie Fedha zetu kwa nauli.tumechoshwa na unyanyasaji huu.
Leo siku ni sikukuu ya nane nane ametuandika ujumbe kuwa tuwe kwenye vituo vya kazi na tutumie Fedha zetu kwa nauli.tumechoshwa na unyanyasaji huu.