Viwanja vilivyopimwa vipo sokoni
Eneo - MICHESE, MTAA WA TANESCO DODOMA
Umbali wa km 6 kutoka katikati ya mji, km 2 kutoka barabara kuu ya singida
Maji na imeme vipo
Bei - Tshs 7,500 kwa Square mita 1
Vilivyopo
Sqm 816 - 6,120,000/=
852 - 6,390,000
1211 - 9,082,500
881 - 6,607,500
1169-...
Kama Kuna mtu ana hii riwaya inaitwa Mkimbizi iliandikwa na Hussein Tuwa (Kama sijakosea) naomba anipatie au aiweke hapa.
Niliisomaga zamani sana kwenye magazeti pendwa wakati ule yaliyokuwa yanatoka kila week
Habari wakuu
Samahani naomba wenye idea na huu utaratibu wa PSSSF wanisaidie kunielewesha kama kweli hichi kitu kipo
Mimi niliwahi kuajiriwa Serikalini baada ya miaka miwili na nusu ya kudumu kwenye ajira nikafukuzwa kazi, baada ya kufukuzwa kazi nikaanza kufuatilia mafao yangu pspf (ambayo...
Viwanja hivi vimeshapimwa na vina bikoni vipo Jijini Dodoma, wilaya ya Dodoma mjini kata ya Nara karibu kabisa na barabara ya Mwanza
Vina ukubwa kama ifuatavyo
25 x 30 = Tshs 3,500,000
25x56= Tsh 4,000,000
35x75= Tshs 5,000,000
Vipo vingine vyenye ukubwa tofautitofauti (Angalia ramani hapo...
Wakuu mimi nataka kuanza kupiga picha kwa level ya chini, yaani mpiga picha wa kawaida tu na nina budget ya Tshs 800,000 sasa naomba kujua mambo mbalimbali kuhusu camera na kupiga picha.
1. Kwa budget hiyo nitahitaji camera ya aina gani?
2. Kuna hizi picha zinazotamba sasa hivi mitandaoni za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.