Serikali ina deal na maswala makubwa na siyo hayo, kwanini hujiulizi wenyewe wanatoa wapi pesa za kukulipa unapoweka hiyo 20000 eti kila siku wanakuingizia 800.
Wajinga wengi watapigika sana baada ya kalynda kuna mzigo mwingine unajiita bestie nao umejipanga tena.
Kama ni biashara fanya...
Mkuu kibongo vitu vingi vinafeli kutoka na kuweka maslahi binasfi mbele au uvivu.
Nakupa mfana mimi huwa nauza mobile phone accessoires kuna dogo mmoja nikamwambia uwe unachukua vitu unatembeza ukiuza faida tunagawana nusu kwa nusu ila sasa ukimuuliza umeuza anakwambia ndio na anakutajia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.