ni kweli!
ila hua watu wengi wanaamini wakiomba msamaha ndio yameisha na watu wataendelea ku entertain uwepo wao au mambo yao kama ilivyokuwa huko nyuma!
unaweza kuniomba msamaha na nikakusamehe na safari yetu ikaishia hapo ama ukaribu wetu ndio ukaishia hapo!
Heshima ipo pale pale!
Chati yangu na ChatGPT:
IamJackReacher atabasamu
IamJackReacher: unaweza kusema nini kuhusu Sadam Hussein, Mohammed Ghaddafi na Vladimir Putin?
ChatGPT: Saddam Hussein alikuwa dikteta wa zamani wa Iraqi ambaye alitawala kutoka 1979 hadi kupinduliwa na kutekwa na vikosi vilivyoongozwa na...
My take:
nimeona na kujifunza mengi katika maisha ila somo kuu ni kutokumuamini mwadamu yeyote anayekuzunguka, iwe ndugu, jamaa ama rafiki (0% - leave the 100% to grade/rate the disappointment)!
Ishi kinafiki na kubali kuwa mjinga.
Huenda wanatetea vibarua na wanataka kuishi kwa amani maana walivyosakamwa baada ya Jiwe kupumzika, sio mchezo!
Ila heshima ya kipekee kwa Bashungwa! Najua kajifunza mengi mazuri na kakemea mengi mabaya ila heshima ipo pale pale.
Huu Muungano nimeutilia mashaka tangu mwanzo wake ila siri kubwa wanaijua waliouwaza muungano huo!
Maendeleo ndio sasa hivi Znz inaona! Huko nyuma muungano ulikuwa wimbo tu; mnataka "sister" akistaafu akatulie Znz ile ile mlioizoea, acha nawao wapige hatua maana bara ni wananchi wanapiga hatua...
😅
Nina ushauri, kwa kuwa tunatizama hili swala katika upeo wa kibinadamu, pointi namba 2 na 4 zitolewe kwani hayo kidogo ni maswala ya Kiroho zaidi, wazo tu!
Hayo mengine yanaweza kubaki!
Brother Mshana,
Ni kweli mambo yanayoendelea ni ya kukatisha tamaa!
Hasa kwa yule mwananchi ambaye hafaidi na yeyote aliyeko madarakani katika ngazi zote "sirikalini".
Ila, nilichojifunza katika kipindi hiki cha miaka 7 (2015-2022), hii nchi, TANZANIA, ni nchi masikini "THIRD WORLD" pamoja...
Pole mkuu!
kumtuma mtu wa intellegence ni upotevu wa pesa na hivi ilivyongumu, labda kama upo vizuri na haujali, sio mbaya. ila mpaka ifikie hapo, si sawa! alafu kuwa makini na watu wa intelligence, usiwape watu sababu ya kula pilau siku za mbele!
mwanamke akishafanya maamuzi si rahisi kumtoa...
aliwezaje? maji yalikuwa hayapungui? au wakati wake mvua zilikuwa zinanyesha sana? au alikuwa anataka kuwafurahisha wananchi kiasi ya kwamba bora vifaa husika viharibike na taifa liingie hasara? haya ni maswali machache kati ya maelfu najikuta najiuliza siku hizi kila kukicha tangia siku ile...
whether ni logical or not, umakini unahitajika sana kwani Mungu over time ameonyesha mengi ambayo kwa mtu wa kawaida na kwa uelewa wake (uwe mdogo/mkubwa) maamuzi yake haya make sense lakini kuna jambo mwishoni la kujifunza!
acha niishie hapo nisije kuendelea kikanipata kitu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.