Huyu jamaa japokuwa ni mlemavu wa miguu lkn ni mtu mwenye kazi yake na elimu ya kutosha tatizo wazazi wa binti wanadai eti kuolewa na mlemavu ni kuleta mkosi ktk familia...!
Ndio hivyo tena wazaz hawataki kumsikiliza bint yao,bint nae hali yake c nzur sana kwn anakiumbe tumbon na wazaz hawamtaki kijana sasa sijui tumsaidieje huyu myfriend..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.