Kwa mtu yeyote yule uliekamilika kusikia vizuri tu hadi kufikia saa tisa ya leo tarehe 4/4/2018 hujasikia majina haya "CRISTIANO RONALDO", "CR7' au "REAL MADRID"....
niPM namba yako nikutumie hela.
Ahsante
Mwanaharakati mashuhuri katika mitandao ya kijamii hasa instagram, Mange Kimambi amefunguka na kusema kuwa kuna kitu kikubwa msanii wa muziki wa hip-hop Roma anataka kukifanya lakini amekaa kimya kwa sababu anataka kuwashtukiza watu kama ilivyokuwa kwa baadhi ya wasanii wengine waliopita...
Ukinipa bastola ina risasi mbili alafu kuna Adolf hitler, Osama bin Laden na huyu Juliana shonza, ukanambia nichague wawili wa kupiga hizo risasi. ZOTE MBILI NAMPIGA JULIANA SHONZA [emoji35] [emoji35] PUSTILAMAKEA[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Yaan mtu anakaa anajichunguza mwili wake anagundua "kiungo flan cpendezw nacho jinsi kilivyo na sina hela ya gym" cha kufanya unakuja humu JF unapost habar zako za shingo. Poor mind kabisa
Za muda huu wanajamvi, najua mko poa na kwa wengine wenye mushikhir na miili yao MUNGU awaponye.
Kama heading inavyosema, najua kuna wahusika mko humu jamvini, BASI HUU UZI NI WA KWENU.
Nianze na swala la ufungiaji wa wasanii pamoja na kazi zao. Ni sawa na halina ubishi kuwa kuna baadhi ya...
Mswaki,Leso,Dodoki, nk hv vifaa kiafya hutumika ndani ya wiki tatu tu. Na sio miezi mitatu kama wengi wanavyosema ila kuna Taulo,Chupi/Boxer,Soksi,Vest/Blazia.nk hv ndio kiafya vinatumika kwa miezi mitatu.
NB: Inashauriwa kuvaa nguo za kawaida i.e Shati,suruali,Gauni,sketi,Viatu nk ndani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.