Haijalishi ila anzingua sn yule mpemba akiwa na mpira haangalii nyuma yake nani anakuja wanamkaba na kichukua mipira kirahisi pasi anazotoa ni mkaa, nafasi ya muda apepe kiungo punda mkude muda aende ihefu.
Mkurugenzi hata hajakutwa na hatia mahakamani tayari kashawajibishwa makonda anatuhumu mawaziri, anadharirisha watumishi anakataa kupanda gari la mkuu wa mkoa lenye bendera ya Taifa na kumpakiza mtoto wake huku yeye akipanda gari la watalii haitwi anaachwa ofisini.
Hv huyu makonda ana nn huko...
Tena hiyo laki ya juu aliniletea mm msela wake ambaye ndio nipo kwenye hili geto aliloliacha.
Alisema amelipata mbwigira mbwigira mmoja hv anamalizana nae kwa maana hajui show.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.